Kamati ya Urithi wa Dunia ya Umoja wa Mataifa inatarajia kuamua kama Pori la akiba la Selous liondolewe miongoni mwa maeneo ya urithi wa dunia, kufuatia...
Hivi karibuni Rwanda imebadili Sheria yake ya mwaka 2009 iliyokuwa inakataza umiliki na uuzwaji wa silaha za moto. Sheria mpya ya silaha za moto nchini humo...
Rwanda imewaonya raia wake wanaoingia kinyume cha sheria katika Mbuga za Wanyama mkoani Kagera kwa madai kuwa wanahatarisha ujirani mwema baina ya nchi hiyo na Tanzania....
Virusi vya Zika vinavyosababisha watoto kuzaliwa wakiwa na ubongo uliodumaa na vichwa vidogo vimeibainika kama njia mojawapo ya kutibu kansa ya ubongo ijulikanayo kama ‘glioblastoma’ Homa...
Serikali ya Tanzania inakusudia kuingia makubaliano na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kufadhili mradi wa kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya chakula ili kuinua...
Wasafirishaji wa kahawa, chai, samaki na ngozi kutokana Tanzania kufaidika na soko la Afrika Mashariki baada jumuiya hiyo kuanzisha mfumo wa pamoja wa forodha mipakani unaolenga...
“Nafikiri kichocheo kikubwa cha uchumi wa Tanzania kitakuwa utalii,” hayo yalikuwa maneno ya Gavana Mstaafu, Prof Benno Ndulu wakati wa Mkutano wa mwaka wa taasisi ya...
Imeelezwa kuwa watanzania wanashauriwa kuendelea kujihadhari na ugonjwa wa ukoma, licha ya kupungua kwa maambukizi yake katika maeneo mbalimbali nchini. Tahadhari hiyo inatokana na uchunguzi wa...
Baada ya Tanzania na Kenya kufanya mabadiliko ya kisheria katika sekta ya madini, ripoti mpya ya utafiti imeeleza kuwa hatua hiyo ni kikwazo katika kuvutia uwekezaji...
Serikali ya Kenya imesema itazuia bidhaa za Tanzania kuingia nchini mwake baada ya Mamlaka ya forodha kuendelea kutoza ushuru kwa bidhaa zinazotengenezwa kwa sukari kutoka nchini...
Serikali imeiomba Switzeland kuangalia uwezekano wa kutoa mafunzo kwa madaktari Bingwa na kuwajengea uwezo watumishi wa umma ili kuongeza ufanisi kati utoaji huduma kwa wananchi. Hayo...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete ameungana na makamishna wengine wa Tume ya Elimu ya Umoja wa Mataifa (UN) kuanzisha Mfuko wa kimataifa elimu (IFFEd) ambao unalenga kutatua...
Imebainika kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi 6 za Afrika ambazo raia wake wanapenda kuhama na kwenda kuishi nchi zingine hasa Marekani na Ulaya ikiwa watapata...
Leo Mei 14, Taifa la Israel linaadhimisha miaka 70 ya uhuru wake. Lakini sherehe hizo huenda zikachochea zaidi uhasama wa kisiasa katika eneo la Mashariki ya...
Jukumu la kumlea na kumtunza mtoto ni la wazazi wote wawili yaani baba na mama. Matunzo hayo yanaanza mama anapokuwa mjamzito mpaka siku ya kujifungua. Katika...
China imethibitisha kusitisha uagizaji wa maharage aina ya soya kutoka Marekani ikiwa ni hatua inazozichukua kujibu mapigo kwenye vita ya kibiashara inayoendelea baina ya mataifa hayo...
Ni jambo la kushangaza tena la kustaajabisha! Ni kule mashariki ya mbali, rasi ya Korea. Nchi zenye uhasama mkubwa kisiasa ziliamua kuweka tofauti zao pembeni na...
Matukio ya watu kujiua yameendelea kushamiri katika maeneo mbalimbali nchini. Watu ambao wanaondoa uhai wao kwa kunywa sumu, kujinyonga au kujirusha kwenye majengo marefu, sio mambo...
Kutokana na kudorora kwa soko la nje la mbaazi, Serikali imewataka wakulima kutafuta na kuimarisha soko la ndani kwa kutumia kama chakula ili kujenga na kuimarisha...
Licha ya kuimarika kwa huduma za afya nchini China bado wagonjwa wanaoenda kutibiwa katika hospitali nyingi wanalazimika kukaa kwenye foleni kwa dakika kadhaa kabla ya kumuona...
Siku chache baada ya Marekani kutangaza kuwa itatoza ushuru wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 60, serikali ya China imejibu kwa kutoa masharti mapya kwa...
Siku chache zilizopita Marekani imekuwa ikitangaza hatua kadhaa za kulinda soko lake kwa kubadilisha utaratibu uliofuatwa na serikali zilizopita na kuamua kutoza ushuru kwa baadhi ya...
Katika kile kinachotajwa kuwa ni vita ya kiuchumi, Marekani imekosoa mfumo wa utoaji misaada na mikopo wa China kwa nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ikidai kuwa...
Machi 8 kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Wanamke ambayo hutoa nafasi ya kutathmini changamoto na mafanikio yaliyofikiwa katika kutambua haki za wanawake na mchango...
Mikutano miwili mikubwa ya mwaka, yaani Baraza la mashauriano ya Kisiasa, na bunge la umma la China, inafanyika. Hii ni mIkutano ya uwakilishi wa wananchi, ambayo...
Jiji la Cape Town nchini Afrika Kusini litazima mitambo inayopeleka maji kwa watumiaji ifikapo Aprili 29, 2018 na kuweka historia ya jiji hilo kukosa huduma hiyo...
Serikali ya Tanzania imekanusha tuhuma kwamba inaminya demokrasia nchini na kusema kuwa imesikitishwa na matamko yaliotolewa na Marekani na Umoja wa Ulaya (EU) na kuungwa mkono...
Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA), imeipatia Tanzania msaada wa shilingi bilioni 77.3 kwa ajili ya upanuzi wa barabara ya New Bagamoyo, kuanzia...
Botswana imemuomba Rais wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC),Joseph Kabila kuachia madaraka haraka ili kuepusha kumwaga damu ya wananchi wasio na hatia. Serikali ya Botswana imeongeza...
Daniel Samson Licha ya kuimarika kwa mapambano dhidi ya rushwa nchini, Tanzania bado iko kwenye kiwango cha juu cha uhalifu wa kiuchumi na udanganyifu mali unaotokea...
Benki ya Dunia imeizishauri nchi za Africa ikiwemo Tanzania kuboresha mfumo wa utendaji wa taasisi za umma, miundombinu na kuwekeza kwenye rasilimali watu ili kukuza uchumi...
Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) imeitaka serikali ya Tanzania kudumisha amani, utulivu na misingi ya demokrasia kwa kuhakikisha inawachukulia hatua za kisheria wale wote wanaohusika...
Rais John Magufuli amewasili nchini Uganda kushiriki mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaotarajiwa kuanza ijumaa na kutawaliwa na ajenda ya kusainiwa...
Hatimaye China imeanza mpango wa kuzalisha mazao ya punda katika miji yake ili kukabiliana na zuio la baadhi ya nchi za Afrika ambazo zimepiga marufuku usafirishaji...
Upepo wa mabadiliko unaendelea kuvuma Afrika hasa katika nchi zinazotarajia kufanya uchaguzi siku zijazo. Lakini mabadiliko ya madaraka sio kipimo chautawala bora kwasababu kwa Afrika sura...
Hatimaye tuzo ya uongozi bora ya Afrika imechukuliwa na Rais wa zamani wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf kutokana na utawala bora, mageuzi ya kisiasa na uchumi...
Viongozi wa Afrika wamekubaliana kuondoa vikwazo vya lishe vinavyowazuia watoto na jamii kutambua na kutumia rasilimali zilizopo katika nchi zao. Viongozi hao walifikia uamuzi huo katika...
Diplomasia ni nguzo muhimu ya kuimarisha mahusiano na mataifa mengine ya kikanda na kimataifa. Kwa kutambua hilo viongozi wetu tangu taifa letu linapata uhuru waliweka misingi...
Ripoti mpya iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) imesema urahisi wa kuanzisha biashara nchini Tanzania uko chini ya wastani unaotakiwa na nchi za Kusini mwa Jangwa...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesimamisha utoaji wa hati za kusafiria za makundi ya vijana wanaosafiri kwenda nje ya nchi kwa kuwa wananyanyaswa na...
Licha ya Rais wa Marekani, Donald Trump kutoa kauli ya kibaguzi dhidi ya nchi za Afrika, inaelezwa kuwa bado wananchi wa bara hilo wanaukubali uongozi wa ...
Ukosefu wa takwimu zinazojitosheleza za meli, maeneo ya bahari zinakoendesha shughuli za uvuvi umekuwa kikwazo kwa serikali za nchi za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania kukabiliana na ...
Licha ya Tanzania kupiga marufuku uchinjaji wa nyama ya punda, inaelezwa kuwa biashara ya uuzaji wa punda inaendelea kwa njia zisizo halali kutokana na uhitaji mkubwa...
China taifa lililo Mashariki ya mbali lenye uchumi unaokuwa kwa kasi na kuwa miongoni mwa mataifa duniani yenye ushawishi mkubwa katika diplomasia ya kimataifa. Mafanikio ya...
Vurugu na idadi ndogo ya wapiga kura katika vituo imeshuhudiwa katika uchaguzi wa marudi nchini Kenya, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imeahirisha uchaguzi huo katika...
Imebaki changamoto moja katika bara la Afrika nayo ni vita vya wenyewe kwa wenyewe ambavyo vinatokea katika nchi mbalimbali na kukwamisha ukombozi wa bara hili kuwa...
Sudan Kusini ni nchi changa iliyojipatia uhuru wake miaka michache iliyopita na kuwa taifa huru lenye mamlaka kamili ya kisiasa na kiuchumi. Nchi hiyo ilitangaza uhuru wake...
Nchi za Afrika Mashariki ni miongoni mwa nchi zenye gharama kubwa za uchukuzi na usafirishaji wa mizigo duniani. Gharama hizo kwa kiasi kikubwa zimepunguza ushindani wa...